Wazo juu ya uhusiano wa kweli kati ya roho na mwili |

Wazo juu ya uhusiano wa kweli kati ya roho na mwili

Dokezo kutoka kwa mafunzo ya darasa katika Hotuba ya MARTHA WILCOX


Kile ambacho akili inafahamu, kama yenyewe; binadamu ni hiyo. Binadamu ni wazo la Akili au ufahamu wake mwenyewe: Binadamu ni akili, muundo wa roho wa Akili.

Mwili

Neno mwili linamaanisha uwepo: Akili inajifahamu kama mwili. Mwili kila wakati ni imisho la Akili, kwa hivyo binadamu ni mwili wa Akili. Akili na mwili ni moja na haziwezi kutenganishwa. Ijulikanayo kama akili ya kimwili na mwili ni dhana isiyo sahihi kuhusu Akili na mwili na ni hadithi.

Roho Mungu

Roho: Mwili, hisia halisi ya mwili. Wazo la kweli kuhusu uhusiano kati ya roho na mwili. Kama hatuna hisia halisi kuhusu uhusiano huu hatuwezi kamwe shinda dhambi, magonjwa na kifo.

Roho kwa yenyewe ni ufahamu ule mmoja wenye nguvu na inafurahia kujionyesha kwenye mwili. Imani ya roho yetu wenyewe; hii ndio mizizi ya uovu wa kinyama, dini za uongo, na zote zikifanya kazi kuokoa roho. Imani hii ni mbaya kwa ushirikina. Roho ni Mungu – Mmoja aliye wa milele. Jua hujituma kwa mionzi yake mingi na sio jua nyingi.{ Kila mionzi ina sifa sambamba na jua.} Kabla ya ufunuo wa Sayansi ya Kikristo hakuna aliyeota mwili na roho ambazo ako nazo ni dhihirisho la mmoja roho au Akili. Sayansi ya Kikristo ndio dini pekee ambayo inafundisha roho moja na mwili moja.

Mwili: kikamilifu akili na roho. Tunatakiwa kupanua na kufanya kuwa kiroho hisia zetu za mwili. Hisia yetu ndio tu makosa. Roho au Akili inaweza tu julikana kupitia dhihirisho lake , mwili. Binadamu hana mwili, binadamu ni mwili. Binadamu ni wote Akili moja na mwili, Chanzo na dhihirisho.

Kila kitu kinachounda mwili ni cha kiroho. Majina yote saba sawa ya Mungu yanajipatia mwili. Kila mtu binafsi ni mwili. Ukweli wa mwili unasababisha tiba {Binadamu ambaye ni muundo wa mawazo sahihi.}

Ukweli wa kwanza au kanuni tunatakiwa kuelewa ni ufananisho ambao unakuwapo kati ya mwanadamu na Mungu; katika pahali pamoja na kwa wakati mmoja. Ubinadamu wa kweli, unao onekana kulingana na kuelewa kwetu. Mwili huu hapa haukuwahi zaliwa na hautawahi kufa. Kumbuka kila wakati ufananisho kati ya Mungu na binadamu. Tunatakiwa kugeuka kutoka kwa hisia za uongo kuona mwili kama ufahamu. Binadamu mke na sifa za kiume ndio uhai wa Mungu. Kutendakazi kwote ni Mungu akitenda kazi. Ni Akili husikia, kuona, kuonja na kunusa. Hisia tano za binadamu ni Mungu, haziwezi shindwa! Kwa sababu Mungu ni mjua yote, anaona yote, anasikia yote na kadhalika. Kwa njia ya kibinafsi ikijifafanua kwa njia bora zaidi ambayo tunawezaiona. Kama zaidi ya mawazo ya Mungu yanafunguka kwa tajiriba yetu tunapata ubinadamu wa kweli. Mama Eddy anaongea kuhusu ukweli wa Mungu ukieleweka kikamilifu, inaweza onekana kama imani iliyoboreshwa, lakini ni ulimwengu wetu ndani ya ufahamu wetu. Lazima tusifikirie mwili kama asili na kutaka kuuondoa.

Tunataka kuona miili yetu ikiwa vile ilivyo. Mwili wangu wa kibinadamu unapotazamwa kwa usahihi ni uwepo wa Mungu. Kitu chochote tunachokifahamu kuwa kizuri na chenye manufaa hatukiondoi. Ubinadamu. {Umoja wa wema ukurasa 49:8} “Vile ninavyofahamu ubinadamu wa kweli, ndivyo nauona ukiwa bila dhambi, kama vile Muumbaji aliyekamilika hajui dhambi.”

Ile inayo onekana kama maboresho au imani iliyoboreshwa ni ukweli wa Kimungu uliofahamika kwa uwazi zaidi.

Ubinadamu wa sasa na sio wa kimwili. “Mimi ni” hapahapa ikijifungua kwa imisho lake la kweli.

Kila kitu lazima kiwe na mwili, imisho, imisho halisi. Akili ikidhihirisha mwili. Afya yangu ya kibinadamu au tajiriba inamtambua Mungu. Afya yangu ya sasa kibinafsi kama Mungu, ufananifu au umoja. Akili hudumisha utambulisho wake. Utambulisho huonekana kwanza kama uanadamu wa kweli, kisha kama kitu cha kweli. Mungu hawezi tenganishwa na utambulisho wake. Mwili ni muhimu.