Hitaji kubwa zaidi la binadamu ni Roho zaidi |

Hitaji kubwa zaidi la binadamu ni Roho zaidi

iliyoandikwa na REV. G. A. KRATZER


Kuona ugavi wa kweli wa mahitaji yetu ni wa kiroho, tunaweza mara moja elewa ya kwamba Mungu kila wakati hukidhi mahitaji ya kila mwanadamu na Roho wake, ambaye ni dutu, nguvu, uwiano, uhai, na mahali pa kuishi pa milele. “ Ndani yake , tunaishi na tunasonga na tuna uwepo wetu.” Yeyote anayeshughulikia huu ugavi wa kiroho anapata ufalme wa mbinguni.

Lakini vipi kuhusu hitaji la wanadamu la chakula ya kimwilii, kinywaji na nguo? Ndio, amekidhi mahitaji haya kwa wakati wote ingawa hajalazimisha umaakinikaji wa ugavi kwa wale hawataki kuutafuta kwa njia inayofaa. Haya mahitaji sio kweli, lakini ya kuonekana tu; bado, ni ya muhimu sana kutoka kwa msimamo wa sasa wa wanadamu; na Kristo Yesu ameelekeza kwa lugha iliyo safi na isiyo na makosa njia sahihi ya kukidhi ugavi. “Usiwe na wasiwasi, ukisema, tutakula nini? au, tutakunywa nini? au tutavaa nini? Kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua mnahitaji vitu hizi zote. Lakini utafuteni ufalme wa Mungu, na utakatifu wake; na vitu hizi zote zitaongezwa kwenu.” Kwa maneno mengine, yeyote kwa kutosheleza anakidhi ile ni kweli, chakula ya kiroho, kinywaji, nguo, makazi, nguvu, afya, na uhai, bila shaka atakua na ugavi wa kutosha wa wenzao wa kimwili wa halisia za kiroho “ zikiongezwa k” kwake, mradi tu ako na hitaji la ugavi wa kimwili.

Hitaji kuu la binadamu, hata hapa na sasa, ni Roho zaidi, badala ya mambo ya kimwili zaidi. Shida kubwa na wanadamu wengi ni, kwamba kwa kiasi, wako na mambo ya kimwili mingi sana ukilinganisha na umiliki muhimu wa sasa wa Roho. Kama mwanadamu yeyote anakosa ugavi wa kimwili, ni ishara wazi ya kwamba hana ushikaji wa kutosha wa Roho, ingawa pendekezo lile sio kweli, ya kwamba ugavi mkubwa wa kimwili ni lazima iwe ishara ya kwamba mwenyewe ni , “Tajiri katika Mungu.” Lakini kama mtu yeyote amekosa ugavi wa kimwili, jitihada yake ya kwanza inafaa kuwa, sio kupata mambo ya kimwili zaidi, lakini Roho zaidi. Akifanya vile, hitaji lake halitakidhiwa tu kama vile imekuwa kwa kila wakati, itakuwa kwa kila wakati, zaidi ya nusu, lakini hitaji lake litajazwa. “Waliobarikiwa ni wale walio na njaa na kiu ya utakatufu {hekima sahihi}; kwa sababu watajazwa,”sio tu kwa ufalme wa Mungu, lakini kwa ugavi wa mahitaji ya kimwili.

Kwa hivyo ni ukweli ya kwamba, “ Upendo wa Kimungu kwa wakati wote umekidhi na utakidhi kwa wakati wote kila hitaji la mwanadamu;” na wanadamu watapata mahitaji yao sio tu “kukidhiwa “ lakini ikiwa imetoshelezwa kwa wingi, kama “ Watatafuta kwanza ufalme wa Mungu na utakatifu wake.”